Saturday 10 May 2008

Robert Gabriel Mugabe

Hawapo wengine watakofuata nyayo za kina Mugabe.

Ni kweli, Mugabe amechelewa kuchukuwa hatua zilizoifikisha Zimbabwe hapo ilipo lakini ukweli ni kuwa kosa lake kubwa ni kupingana na Wamarekani na Waingereza, na suala zima la vikwazo vya uchumi dhidi ya Zimbabwe kwa sababu ku kutokubali kwake kuimba ngonjera zinazotungwa Washington na London.

Viongozi wa kizazi kipya, wakina Tsvangirai, haiwasumbuwi kuweka maslahi ya nchi pembeni kwa kisingizio cha

1 comment:

Anonymous said...

Wanyonge siku zote watatawaliwa na wenye nguvu. Labda hao kina Tsvangirai (na wengine wa aina yake) wameshagundua ukweli huo na badala ya kupambana kwa maslahi ya nchi zao, ni rahisi zaidi kujiunga na wakubwa.