Nimekuwa kimya kwa muda, lakini nitaanza tena kuandika kwenye blog hii baada ya muda si mrefu.
Yako mengi ya kusema, lakini nitachagua yale muhimu katika kuchangia mawazo mbalimbali.
Wednesday 29 October 2008
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Madhumuni ya blogu hii ni kukaribisha maoni ya kistaarabu juu ya masuala mbalimbali yanayojitokeza Tanzania, na hata sehemu nyingine za dunia. Naomba washiriki mtumie hoja zaidi ya nguvu katika kubadilishana maoni na wananchi wenzenu, popote walipo duniani.
No comments:
Post a Comment