Migomo ya walimu, ya wanafunzi, ya wafanyakazi. Kushindwa kwenye uchaguzi mdogo wa jimbo la Tarime, na hivi karibuni wastaafu wa Shrika la Bandari kuvua nguo barabarani wakishinikiza Serikali kulipwa mafao yao.
Serikali ikiendelea kujidanganya kuwa hakuna tatizo, itaendelea kupoteza majimbo ya uchaguzi kwenye Uchaguzi Mkuu 2010.
No comments:
Post a Comment